Polis walazimika kutumia nguvu, kufuatia umati mkuwa wa wafuasi wa CHADEMA kufurika mahakamani kusikiliza kesi ya Ezekiel Wenje

Mamia ya wafuasi wa CHADEMA  wakiongozwa  na  Mwenyekiti  wao Freeman Mbowe leo  wamefurika mahakama  kuu  jijini  Mwanza katika kesi ya  mbunge wa zamani wa Nyamagana, Ezekiel Wenje (CHADEMA)  anayepinga  matokeo  ya  Stanslaus Mabula (CCM).
Polisi  wametumia  nguvu  ya  ziada  kuhakikisha  ulinzi  unaimarika  mahakamani  hapo

Powered by Blogger.