Jeshi la Polisi limelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya machinga Karume-Dar..

Jeshi la Polisi Kanda ya Dar es Salaam jioni ya jana limelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya machinga wanaolazimisha kufanyia biashara eneo la Karume baada ya kukataa kuondoka eneo hilo kwa ustaarabu na kuzua vurugu kubwa.
Powered by Blogger.