Samuel Sitta Ashinda Nafasi ya Uenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba kwa Kura 487 dhidi ya Kura 69 za Mhe. Hashim Rungwe.










Katibu wa Bunge Thomas Kashilila akiongea na waandishi wa habari kuhusu kukamilika kwa uteuzi wa wagombea wa nafasi ya mwenyekiti wa Bunge Maalum wa Katiba Ofisi Kwake Mjini Dodoma
TUNAOMBA MAONI YAKO HAPA CHINI KUHUSU TAARIFA HII!!!