Christopher Ole Sendeka ateuliwa kuwa msemaji mkuu wa CCM

 
Kulia ni Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana na kushoto ni  Katibu Mwenezi wa chama Ndugu Nape Nnauye na Ole sendeka  katikati
 
Chama cha Mapinduzi CCM leo kimemtangaza Christopher Ole Sendeka kuwa msemaji mpya wa CCM kuanzia leo.

Sendeka ametangazwa rasmi na Katibu Mkuu wa chama hicho Ndugu Abdulrahman Kinana mbele ya Waandishi wa Habari jijini Dar.
Powered by Blogger.