Uruma sana....Mwanamke aharibiwa vibaya sehemu zake za siri baada ya kufumaniwa na mume wa mtu

Mama huyu akiwa hajielewi kwa kile kilichompata,baada ya kula uroda na mwanaume katika nyumba ya wageni ya super star hamugembe alitoweka na pesa za mwanaume huyo ambae inasemekana ni mkazi wa kigoma,baada ya muda mama huyu alijikuta baada ya umati kuwa mkubwa police walifika maeneo.

Powered by Blogger.