Jionee beki tatu alivyomtega baba mwenye nyumba akiwa anafanya usafi...

Wakati sakata la ndoa nyingi kuvunjika kutokana na kusalitiana kwa wanandoa, Hivi karibuni kumetokea tukio la kusikitisha baada ya beki tatu kumtega baba mwenye nyumba akiwa amekaa sebuleni anakunywa maji na demu huyo akiwa anafanya usafi katika hali ambayo akiwa ya kawaida Baba huyo alishangaa kuona msichana huyo akiacha maumbile yake wazi kila alipokuwa akiinama.

Kama ilivyo ada wanaume ni dhaifu na macho hayana pazi alijaribu kujivungavunga ila mzee uzalendo ukamshinda na kumrukia msichana huyo akiwa na uchu mkubwa na ndipo walipofumaniwa na mama mwenye nyumba wakipenzika sebuleni peupe bila aibu.

Je wewe ungekuwa mama ungefanyaje???
Powered by Blogger.