Je nikweli wanawake wote hufika kileleni.....?? Kilele cha mwanamke kikojee??

Asilimia kubwa ya wanawake huwa na tabia ya kujifanya wamefika kileleni kumbe hata njia ya kuelekea kileleni bado hawajaiona,mara nyingi huwa wanafake kwa kuongeza kelele za kimahaba au wengine huwa wanaongea kabisa,utawasikia "ooh baby am comming" basi hapo mwanaume atajiona dume la mbegu kumbe "hatoshi" na mara nyingine inawapa shida sana wanaume kujua kama ni kweli wamewaridhisha na kuwafikisha wake zao au wanadanganywa.
Powered by Blogger.