Boss na Secretary wake wafumaniwa wakivunja amri ya sita chooni....
Masecretary wanakazi nyingi mno huko mahofisini, Kama ulikuwa una-habari basi huwahudumia mabosi kama vile wameolewa nikiwa na maana hadi wanafikia hatua ya kuvunja amri ya sita Officini kama hawa walivyokuwa wanakulana Utamu maliwatoni na kufumaniwa na wafanyakazi wenzao....